a
Isa 32:10
;
7:23
;
Yoe 1:10-12
;
Isa 16:8-10
b
Mwa 31:27
;
Isa 5:14
;
Mao 5:14
;
Eze 26:13
;
Yer 7:34
;
16:9
;
Ufu 5:14
Isaiah 24:7-8
7
a
Divai mpya inakauka na mzabibu unanyauka,
watu wote wafurahishao wanalia kwa huzuni.
8
b
Furaha ya matoazi imekoma,
kelele za wenye furaha zimekoma,
shangwe za kinubi zimenyamaza.
Copyright information for
SwhNEN